Wasumbwa ni kabila la Watu kutoka eneo la wilaya ya Bukombe, Mkoa wa Geita, Kaskazini mwa nchi ya Tanzania.
Mwaka 1987 idadi ya Wasumbwa ilikadiriwa kuwa 191,000 [1].
Lugha yao ni Kisumbwa, jamii ya Kisukuma na Kinyamwezi.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search