Wasumbwa

Wasumbwa ni kabila la Watu kutoka eneo la wilaya ya Bukombe, Mkoa wa Geita, Kaskazini mwa nchi ya Tanzania.

Mwaka 1987 idadi ya Wasumbwa ilikadiriwa kuwa 191,000 [1].

Lugha yao ni Kisumbwa, jamii ya Kisukuma na Kinyamwezi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search