A

Alfabeti ya Kilatini
(kwa matumizi ya Kiswahili)
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz
Herufi A kwa mwandishi mbalimbali

A ni herufi ya kwanza katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Alfa ya Kigiriki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search