Albania

Republika e Shqipërisë
Jamhuri ya Albania
Bendera ya Albania Nembo ya Albania
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Feja e Shqiptarit eshte Shqiptaria (Kialbania: "Imani wa Walbania ni Ualbania")
Wimbo wa taifa: Hymni i Flamurit
("Wimbo kwa bendera")
Lokeshen ya Albania
Mji mkuu Tirana
41°20′ N 19°48′ E
Mji mkubwa nchini Tirana
Lugha rasmi Kialbania
Serikali demokrasia
Ilir Meta
Edi Rama
Uhuru
Tarehe

28 Novemba 1912
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
28 748 km² (ya 139)
4.7%
Idadi ya watu
 - 2017 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
2,876,591 (ya 137)
98/km²/km² (63)
Fedha Lek (ALL)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .al
Kodi ya simu +355

-



Jamhuri ya Albania ni nchi ya Ulaya Kusini Mashariki. Imepakana na Montenegro, Kosovo, Masedonia Kaskazini na Ugiriki. Upande wa magharibi kuna pwani ya ghuba ya Adria ya bahari ya Mediteranea.

Albania ni kati ya nchi zinazoendelea na imeomba kujiunga na Umoja wa Ulaya.

Mji mkuu ni Tirana (wakazi 418,495).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search