Alfabeti ya Kilatini (pia: Alfabeti ya Kirumi) ndiyo alfabeti inayotumiwa kwa lugha nyingi zaidi duniani. Hata Kiswahili siku hizi huandikwa kwa herufi za Kilatini kama kwa mfano kwenye ukurasa huu wa Wikipedia.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search