Alfabeti ya Kilatini

Nchi zinazotumia alfabeti ya Kilatini kwa lugha zao
Kijani nyeupe: Nchi zinazotumia herufi za Kilatini pamoja na alfabeti za kienyeji

Alfabeti ya Kilatini (pia: Alfabeti ya Kirumi) ndiyo alfabeti inayotumiwa kwa lugha nyingi zaidi duniani. Hata Kiswahili siku hizi huandikwa kwa herufi za Kilatini kama kwa mfano kwenye ukurasa huu wa Wikipedia.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search