Ali ibn Abu Talib

Picha ya Kiajemi ya kisasa ya Ali

Ali Ibn Abu Talib (Kar.: علي ابن أبي طالب * mnamo 600 BK Makka - + Januari 661 Kufah / Irak) alikuwa mkwe wa mtume Muhammad, khalifa wa nne wa Uislamu na imamu wa Shia wa kwanza. Alikuwa pia baba wa wajukuu wa pekee wa mtume.

Aheshimiwa na Washia kama mfuasi wa kweli wa pekee wa mtume.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search