Angola

Jamhuri ya Angola
República de Angola (Kireno)
Kaulimbiu ya taifa:
Virtus Unita Fortior (Kilatini)
"Maadili ni ya nguvu zaidi yakiungana"
Wimbo wa taifa: Angola Avante
"Nenda mbele, Angola"
Mahali pa Angola katika Afrika
Mahali pa Angola katika Afrika
Ramani ya Angola
Ramani ya Angola
Mji mkuu
na mkubwa nchini
Luanda
8°50′ S 13°20′ E
Idadi ya watu
 • Kadirio la 202335 981 281[1]
SarafuKwanza ya Angola


Angola ni nchi kubwa iliyopo upande wa kusini magharibi wa bara la Afrika ikipakana na Namibia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Zambia. Upande wa magharibi kuna pwani ndefu ya Bahari Atlantiki. Mkoa wa Kabinda umetenganika na sehemu nyingine za nchi na unapakana na Jamhuri ya Kongo pia.

Angola ni nchi tajiri kwa mafuta na madini: almasi ndiyo muhimu zaidi. Lakini nchi ni maskini kutokana na vita vya miaka 29; kwanza vita vya kupigania uhuru dhidi ya Ureno iliyofuatwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe hadi mwaka 2002.

Nchi yenyewe hasa ni ya kidemokrasia na inajulikana kama Jamhuri ya Angola (kwa Kireno: República de Angola, kwa matamshi ya IPA: /ʁɛ.'pu.βli.kɐ dɨ ɐ̃.'ɣɔ.lɐ/; kwa lugha za wenyeji: Repubilika ya Ngola).

  1. "Angola". The World Factbook (kwa Kiingereza) (toleo la 2024). Shirika la Ujasusi la Marekani. Iliwekwa mnamo 23 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search