Aruba

Aruba
Bendera ya Aruba Nembo ya Aruba
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Kisiwa chenye heri"
Wimbo wa taifa: Aruba Dushi Tera
Lokeshen ya Aruba
Mji mkuu Oranjestad
12°19′ N 70°1′ W
Mji mkubwa nchini Oranjestad
Lugha rasmi Kiholanzi, Papiamento1
Serikali
Ufalme wa kikatiba
Uhuru
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
178.91 km² ()
-
Idadi ya watu
 - 2018 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
116,600 (ya 193)
624/km² (ya 22)
Fedha Florini ya Aruba (AWG2)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
AST (UTC-4)
(UTC)
Intaneti TLD .aw
Kodi ya simu +297

-


Aruba ni nchi ya kisiwani katika Bahari ya Karibi karibu na pwani ya Venezuela.

Tangu mwaka 1636 ilikuwa kwa kwikwi koloni la Uholanzi, lakini sasa ni "nchi ya kujitawala" ndani ya muundo wa "Ufalme wa Nchi za Chini" pamoja na Uholanzi yenyewe na nchi nyingine mbili za Karibi zilizokuwa makoloni ya Uholanzi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search