Asilimia

Katika ramani (Kulia) ni asilimia ya Watumwa kati ya wakazi wote katika Bara la Marekani, 1860

Asilimia (kutoka maneno mawili ya Kiarabu اصل asl yaani asili, chanzo na مئوية mia 100 ) ni njia ya kutaja uhusiano kati ya idadi mbili tofauti. Alama yake ni %. Kiasi kimoja huteuliwa kuwa ni namba ya 100 ya kiasi kingine. Sehemu yake ya mia ni 1 %.

Sasa inawezekana kugawa kiasi kingine kwa ile 1% na kuona inashika asilimia ngapi za kiasi husianifu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search