Austria

'Republik Österreich
Jamhuri ya Austria
Bendera ya Austria Nembo ya Austria
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: “'Land der Berge, Land am Strome
(Kijerumani kwa "Nchi ya milima, nchi ya mtoni")
Lokeshen ya Austria
Mji mkuu Vienna
48°12′ N 16°21′ E
Mji mkubwa nchini Vienna
Lugha rasmi Kijerumani 1
Serikali Jamhuri
Alexander Van der Bellen
Karl Nehammer
Uhuru
Mkataba kuhusu Austria ulianza
Tangazo la baki

27 Julai 1955
26 Oktoba 1955
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
83,871 km² (ya 115)
1.3
Idadi ya watu
 - 2022 kadirio
 - 2021 sensa
 - Msongamano wa watu
 
9,027,999 (ya 98)
8,932,664
107.6/km² (ya 106)
Fedha Euro () 2 (EUR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .at 3
Kodi ya simu +43
1 Kislovenia, Kikroatia, Kihungaria ni lugha rasmi kieneo.
2 Kabla ya 1999: Shilingi ya Austria.


Ramani ya Austria

Austria (kwa Kijerumani: Österreich) ni nchi ya Ulaya ya Kati. Imepakana na Ujerumani, Ucheki, Slovakia, Hungaria, Slovenia, Italia, Uswisi na Liechtenstein.

Mji mkuu ni Vienna.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search