B

Alfabeti ya Kilatini
(kwa matumizi ya Kiswahili)
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz
Herufi B kwa mwandishi mbalimbali

B ni herufi ya pili katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Beta ya Kigiriki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search