Bahari ya Okhotsk

55°N 150°E / 55°N 150°E / 55; 150

Ramani ya Bahari ya Okhotsk.

Bahari ya Okhotsk ni bahari ya pembeni ya Pasifiki ya magharibi. [1] Iko kati ya rasi ya Kamchatka upande wa mashariki, visiwa vya Kurili upande wa kusini mashariki, kisiwa cha Hokkaidō upande wa kusini, kisiwa cha Sakhalin kwenye magharibi, na pwani ya Siberia ya mashariki upande wa magharibi na kaskazini. Ghuba ya Shelikhov iko upande wa kaskazini mashariki.

Jina limetokana na mji wa Okhotsk ambayo ni mji wa kwanza ulioundwa na Warusi katika Mashariki ya Mbali.

  1. Kon-Kee Liu; Larry Atkinson (Juni 2009). Carbon and Nutrient Fluxes in Continental Margins: A Global Synthesis. Springer. ku. 331–333. ISBN 978-3-540-92734-1. Iliwekwa mnamo 29 Novemba 2010.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search