Ban Ki-moon

picha ya Ban Ki-moon yamwezi wa pili,2016

Ban Ki-moon (* Eumseong, Korea, 13 Juni 1944) alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa tangu tarehe 1 Januari 2007 hadi 31 Desemba 2016 akimfuata Kofi Annan.[1]

Ban aliwahi kuwa Waziri wa mambo ya nje wa Korea Kusini kati ya miaka 2004 na 2006. Tarehe 13 Oktoba 2006 alichaguliwa na Mkutano Mkuu wa UM kuwa Katibu Mkuu.

Mwaka 2013, jarida la Fobres la nchini Marekani lilimtaja Ban kuwa mtu wa 32 mwenye nguvu duniani na kuwa wa kwanza katika Korea Kusini. Mwaka 2014 alitajwa kuwa mtu wa tatu mwenye nguvu Korea Kusini baada ya Lee-Kun hee na Lee-jae yong.

  1. "Ban named next U.N. secretary-general". AP. Iliwekwa mnamo 2006-10-13. {{cite web}}: Italic or bold markup not allowed in: |publisher= (help)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search