| |||||
Kaulimbiu ya taifa: | |||||
Wimbo wa taifa: Amar Shonar Bangla "Bengali yangu ya dhahabu" | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Dhaka | ||||
Mji mkubwa nchini | Dhaka | ||||
Lugha rasmi | Kibengali (Bangla) | ||||
Serikali | Jamhuri Abdul Hamid Hasina Wazed | ||||
Uhuru Ilitangazwa Siku ya Ushindi |
26 Machi 1971 16 Desemba 1971 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
147,570 km² (ya 94) 6.4 | ||||
Idadi ya watu - 2013 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
156,594,962 (ya 8) 129,247,233 1,033.5[1]/km² (ya 12) | ||||
Fedha | Taka (BDT )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
BDT (UTC+6) not observed (UTC+6) | ||||
Intaneti TLD | .bd | ||||
Kodi ya simu | +880 - SubCodes
- |
Bangladesh (pia: Bangladesh; kwa Kibengali: বাংলাদেশ, bāṃlādeś) ni nchi ya Asia ya Kusini. Imepakana na Uhindi pande zote barani isipokuwa mpaka mfupi wa km 193 na Myanmar upande wa kusini-mashariki na pwani ya Ghuba ya Bengali.Ni nchi ya nane kwa kuwa na watu wengi zaidi duniani na miongoni mwa nchi zenye msongamano mkubwa wa watu na wakazi wanaozidi milioni 170 ndani ya eneo la kilomita za mraba 148,460.Dhaka ndio mji mkuu na jiji kubwa zaidi, ni kituo cha kitaifa cha kisiasa, kifedha na kitamaduni
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search