Bangladesh

গণপ্রজাতন্ত্রী বাংলােদশ
Gônoprojatontri Bangladesh

Jamhuri ya Watu wa Bangladesh
Bendera ya Bangladesh Nembo ya Bangladesh
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Amar Shonar Bangla
"Bengali yangu ya dhahabu"
Lokeshen ya Bangladesh
Mji mkuu Dhaka
23°42′ N 90°22′ E
Mji mkubwa nchini Dhaka
Lugha rasmi Kibengali (Bangla)
Serikali Jamhuri
Abdul Hamid
Hasina Wazed
Uhuru
Ilitangazwa
Siku ya Ushindi
26 Machi 1971
16 Desemba 1971
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
147,570 km² (ya 94)
6.4
Idadi ya watu
 - 2013 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
156,594,962 (ya 8)
129,247,233
1,033.5[1]/km² (ya 12)
Fedha Taka (BDT)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
BDT (UTC+6)
not observed (UTC+6)
Intaneti TLD .bd
Kodi ya simu +880 - SubCodes

-


Bangladesh (pia: Bangladesh; kwa Kibengali: বাংলাদেশ, bāṃlādeś) ni nchi ya Asia ya Kusini. Imepakana na Uhindi pande zote barani isipokuwa mpaka mfupi wa km 193 na Myanmar upande wa kusini-mashariki na pwani ya Ghuba ya Bengali.Ni nchi ya nane kwa kuwa na watu wengi zaidi duniani na miongoni mwa nchi zenye msongamano mkubwa wa watu na wakazi wanaozidi milioni 170 ndani ya eneo la kilomita za mraba 148,460.Dhaka ndio mji mkuu na jiji kubwa zaidi, ni kituo cha kitaifa cha kisiasa, kifedha na kitamaduni

  1. World Bank Development Indicators Database, 2006.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search