Barafuto

Barafuto huitwa pia "mto wa barafu". Ni kanda kubwa la barafu iliyoanza kutambaa kutokana na uzito wake ikifuata graviti kwenye mtelemko. Kwa sababu hiyo barafuto zinapatikana hasa mlimani.

Barafuto

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search