Belarus

Рэспубліка Беларусь
Республика Беларусь
Jamhuri ya Belarus
Bendera ya Belarus Nembo ya Belarus
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: Belarusian: Мы, беларусы
(Mi Belarusi)
("Sisi Wabelarus")
Lokeshen ya Belarus
Mji mkuu Minsk
53°55′ N 27°33′ E
Mji mkubwa nchini Minsk
Lugha rasmi Kibelarus, Kirusi
Serikali Jamhuri
Alexander Lukashenko
Roman Golovchenko
Uhuru
Ilitangazwa
ilianzishwa
ilikamilishwa

27 Julai 1990
25 Agosti 1991
25 Desemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
207,600 km² (ya 84)
kidogo sana (183 km²)[1]
Idadi ya watu
 - 2016 kadirio
 - 2009 sensa
 - Msongamano wa watu
 
9,498,700 (ya 93)
9,503,807
45.8/km² (ya 142)
Fedha Rubel ya Belarus (BYN)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
FET (UTC+3)
FET (UTC+3)
Intaneti TLD .by
Kodi ya simu +375

-


Ramani ya Belarus

Belarus (kwa Kibelarus: Беларусь (Kikyrili) au Biełaruś (Kilatini); kwa Kirusi:Белоруссия ) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki inayopakana na Urusi, Ukraine, Poland, Lithuania na Latvia.

Mji mkuu ni Minsk na miji mingine ni pamoja na Brest, Grodno, Gomel, Mogilev na Vitebsk.

Idadi ya wakazi inapungua: ni watu 9,498,700 (2016).

  1. "Tourism". Belarusian Chamber of Commerce and Industry. Information Site. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-11-13. Iliwekwa mnamo 26 Machi 2006.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search