Belize

Belize
Bendera ya Belize Nembo ya Belize
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kilatini: Sub Umbra Floreo
(maana yake: "Kivulini nasitawi")
Wimbo wa taifa: Land of the Free
Wimbo wa kifalme: God Save the Queen
Lokeshen ya Belize
Mji mkuu Belmopan
17°15′ N 88°46′ W
Mji mkubwa nchini Belize City
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Nchi ya Jumuiya ya Madola
Charles III wa Uingereza
Froyla Tzalam
Johnny Briceño
Uhuru
Tarehe
Kutoka Uingereza
21 Septemba 1981
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
22,966 km² (151st)
0.8
Idadi ya watu
 - Julai 2022 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
441,471 (ya 168)
324,528
17.79/km² (ya 169)
Fedha Belize Dollar (BZD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-6)
(UTC)
Intaneti TLD .bz
Kodi ya simu +501

-



Belize ni nchi ya Amerika ya Kati upande wa pwani ya mashariki.

Inapakana na nchi za Mexiko, Guatemala na Honduras.

Makao makuu yako Belmopan, lakini mji mkubwa zaidi ni Belize.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search