Binadamu

Binadamu

Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Familia ya juu: Hominoidea (Wanyama kama binadamu)
Familia: Hominidae (Walio na mnasaba na binadamu)
Nusufamilia: Homininae (Wanaofanana sana na binadamu)
Jenasi: Homo
Linnaeus, 1758
Spishi: H. sapiens
Linnaeus, 1758
Nususpishi: H. s. sapiens
Mchoro wa uenezi wa jenasi Homo katika miaka milioni mbili ya mwisho. Rangi ya samawati Inaonyesha uwepo wa spishi fulani wakati na mahali fulani.[1]
Ramani ya uenezi wa binadamu ([ka] inamaanisha miaka elfu).

Binadamu (pia mwanadamu) ni neno lenye asili ya Kiarabu linalomaanisha "Mwana wa Adamu", anayeaminiwa na dini za Uyahudi, Ukristo na Uislamu kuwa ndiye mtu wa kwanza.

  1. Stringer, C. (2012). "What makes a modern human". Nature. 485 (7396): 33–35. doi:10.1038/485033a. PMID 22552077.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search