Boma

Boma huko Katanga kwenye karne ya 19
Old Boma Building, Blantyre
Boma la Wajerumani pale Saadani, mnamo 1912

Boma ni sehemu au hasa jengo lililoviringishwa kwa vizuizi ili watu wasipite kirahisi kwa shabaha ya kujitetea dhidi ya maadui. Maana ya neno hili linaweza kuwa karibu na "ngome" lakini linaweza kutaja pia sehemu yoyote iliyoimarishwa kwa mfano "boma la ng´ombe" kama sehemu iliyoviringishwa kwa miiba kwa kutunza mifugo wakati wa usiku.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search