Brunei

بروني دارالسلام
Negara Brunei Darussalam
Bendera ya Brunei Daressalam Nembo ya Brunei Daressalam
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Daima katika utumishi kwa msaada wa Mungu"  (translation)
Wimbo wa taifa: Allah Peliharakan Sultan
"Mungu ambariki Sultani"
Lokeshen ya Brunei Daressalam
Mji mkuu Bandar Seri Begawan
4°55′ N 114°55′ E
Mji mkubwa nchini Bandar Seri Begawan
Lugha rasmi Kimalay na Kiingereza
Serikali Ufalme
Hassanal Bolkiah
Uhuru kutoka Uingereza
Mwisho wa hali ya nchi lindwa

1 Januari 1984
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
5,765 km² (ya 170)
8.6
Idadi ya watu
 - 2018 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
442,400 (ya 168)
332,844
72.11/km² (ya 134)
Fedha Brunei ringgit (BND)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+8)
(UTC)
Intaneti TLD .bn
Kodi ya simu +6731

-

1 Also 080 from Malaysia.



Brunei (jina rasmi niː برني دار السلام , Negara Brunei Darussalaam, yaaniː Taifa la Brunei, Nyumba ya Amani) ni usultani mdogo na nchi huru kaskazini mwa kisiwa cha Borneo huko Asia ya Kusini-Mashariki.

Imepakana na majimbo ya Sarawak na Sabah ya Malaysia tu, ingawa sehemu kubwa ya kisiwa hicho inatawaliwa na Indonesia.

Mji mkuu ni Bandar Seri Begawan.

Mtawala wa nchi ni sultani Hassan al-Bolkiah. Anasemekana kuwa kati ya watu tajiri zaidi duniani kutokana na mapato ya mafuta ya petroli.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search