Burundi

Jamhuri ya Burundi
Repuburika y’Uburundi (Kirundi)
République du Burundi (Kifaransa)
Kaulimbiu ya taifa:
Ubumwe, Ibikorwa, Amajamber (Kirundi)
Unité, Travail, Progrès (Kifaransa)
Union, Work, Progress (Kiingereza)
"Umoja, Kazi, Maendeleo"
Wimbo wa taifa: Burundi Bwacu (Kirundi)
"Burundu Yetu"
Mahali pa Burundi
Mahali pa Burundi
Ramani ya Burundi
Ramani ya Burundi
Mji mkuuGitega
3°28′ S 29°57′ E
Mji mkubwa nchiniBujumbura
3°21′ S 29°20′ E
Lugha rasmiKirundi
Kifaransa
Kiingereza
Makabila (asilimia)85 Wahutu
15 Watutsi
1 Watwa
SerikaliJamhuri
 • Rais
 • Makamu wa Rais
 • Waziri Mkuu
Évariste Ndayishimiye
Prosper Bazombanza
Gervais Ndirakobuca
Eneo
 • Eneo la jumlakm2 27 830[1]
Idadi ya watu
 • Kadirio la 202313 162 952[1]
SarafuFaranga ya Burundi

Burundi, kirasmi Jamhuri ya Burundi (iliyojulikana zamani kama Urundi), ni nchi ndogo ambayo iko katika eneo la Maziwa Makubwa ya Afrika. Burundi imepakana na Rwanda upande wa kaskazini, Tanzania upande wa mashariki, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa magharibi.

Burundi ni mwanachama wa Umoja wa Afrika na wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

  1. 1.0 1.1 "Burundi". The World Factbook (kwa Kiingereza) (toleo la 2024). Shirika la Ujasusi la Marekani. Iliwekwa mnamo 23 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search