Cape Town






Jiji la Cape Town

Nembo
Jiji la Cape Town is located in Afrika Kusini
Jiji la Cape Town
Jiji la Cape Town

Mahali pa mji wa Cape Town katika Afrika Kusini

Majiranukta: 33°55′48″S 18°27′36″E / 33.93000°S 18.46000°E / -33.93000; 18.46000
Nchi Afrika Kusini
Majimbo Rasi Magharibi
Tovuti:  www.capetown.gov.za
Mlima wa Meza
Cape Town inavyoonekana kutoka Mlima wa Meza (nyuma baharini Robben Island alipofungwa Nelson Mandela)
Mlima wa Meza ni ishara ya mji

Cape Town (yaani "Mji wa rasi", kwa Kiafrikaans: Kaapstad; kwa Kixhosa: iKapa) ni mji mkubwa wa tatu wa Afrika Kusini na mmoja kati ya miji mikuu mitatu ya nchi ikiwa ni makao ya Bunge. Pia ni mji mkuu wa jimbo la Rasi Magharibi (Western Cape / Wes-Kaap). Ni sehemu ya Jiji la Cape Town.

Eneo lake ni km² 1,644 lenye wakazi 2,375,910 (mwaka 2005).

Jina la mji limetokana na Rasi ya Tumaini Jema iliyoko karibu na mji upande wa kusini.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search