Conakry


Jiji la Conakry
Nchi Guinea
Conakry katika Guinea.
Jumba la Watu mjini Conakry
Uwanja wa michezo Lansana Conte.

Conakry (pia: Konakry) ni mji mkuu wa Guinea wenye wakazi 2,000,000 (mwaka 2002). Mji una bandari mwambaoni wa Ghuba ya Guinea ya Atlantiki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search