Demografia ni sayansi ya jamii inayozingatia takwimu za idadi ya binadamu.
Inaweza kuhusu mabadiliko yoyote ya makundi ya watu mbalimbali kadiri ya mahali na wakati, k. mf. kulingana na wengine kuzaliwa, kufa, kuhama, kuzeeka na kufa[1].
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search