Dirisha

Dirisha la hewa chumbani.

Dirisha (kutoka neno la Kiajemi; kwa Kiingereza: window) ni nafasi wazi katika ukuta au paa la jengo, katika gari n.k. Lengo lake ni kuruhusu hewa na mwanga viingie, pia watu waweze kuona nje kwa njia yake.

Kunaweza kuwa na maumbo na ukubwa tofauti, ikiwa ni pamoja na mstatili, mraba, mviringo, au maumbo ya kawaida.

Kwa kawaida hujazwa na kioo ili kuzuia baridi na mavumbi kuingia. Baadhi ya madirisha yana kioo cha rangi, hasa mahali pa ibada.

Kabla ya kioo kilichotumiwa madirisha, watu wa Asia walitumia karatasi kujaza shimo kwenye ukuta. Karatasi ingeacha mwanga.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search