Dola Huru la Oranje

Dola Huru la Oranje mnamo 1885 kati ya Koloni ya Rasi (kusini) na Transvaal (South African Republic - kaskazini)
Bendera ya Dola Huru la Oranje
stempu ya posta ya Dola Huru la Oranje

Dola Huru la Oranje (Ing.: Orange Free State; Afr.: Oranje-Vrystaat) lilikuwa jamhuri ya makaburu katika Afrika Kusini wakati wa nusu ya pili ya karne ya 19 iliyoundwa na mavoortrekker. Baadaye ilikuwa koloni ya Uingereza na jimbo la Afrika Kusini, tangu 1995 kwa jina "Free State Province" (jimbo la Dola Huru).

Jina la jamhuri lilichaguliwa kutokana na Mto Oranje uliokuwa mpaka wake.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search