Dublin


Jiji la Dublin
Majiranukta: 53°19′48″N 6°15′0″W / 53.33000°N 6.25000°W / 53.33000; -6.25000
Nchi Eire
Mkoa Leinster
Wilaya Dublin
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 505,739
Tovuti:  www.dublincity.ie

Dublin (Kieire pia: Baile Átha Cliath = "Kijiji kwenye kivuko kwa mafunjo") ni mji mkuu wa Jamhuri ya Eire pia mji mkuu kwenye kisiwa cha Eire mwenye wakazi milioni 1.6 kwenye rundiko la jiji.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search