Duka

Watu wakiwa dukani wakinunua mahitaji yao.

Duka ni mahali ambapo watu wanaweza kwenda kununua vitu wanavyovihitaji au wanavyotaka. Kuna vitu vingi ambavyo watu duniani wanaweza kununua dukani. Wanaweza kwenda dukani kununua chakula, nguo, samani, vitabu[1] na vitu vingine vingi.

Watu wanaweza pia kwenda kwenye duka la kutengeneza vifaa vilivyoharibika, na wanataka watengenezewe vifaa vyao. Kwa mfano, mtu anaweza kuleta baiskeli iliyoharibika kwenye duka la kutengeneza baiskeli.

Maduka makubwa yanaitwa pia supamaketi.

Maduka yanaweza yakawa makubwa na hata hivyo faida yake ikawa ndogo.

  1. https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/e/e3/AFDCM-03-042.jpg

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search