Eukaryota

Vyote Eukaryota!

Eukaryota ni kundi kubwa la viumbehai ambavyo vina seli zenye kiini cha seli na utando wa seli. Mimea, wanyama na fungi wote tunaoona huhesabiwa humo.

Zinahesabiwa kwa jumla kama domeni kati ya viumbehai na domeni nyingine ni bakteria na archaea ambavyo ni viumbe vidogo sana vinavyoonekana kwa hadubini tu.

Eukaryota walio wengi wana seli nyingi lakini hasa protisti na sehemu za fungi zina seli moja tu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search