Filipe Nyusi

Picha yake.

Filipe Jacinto Nyusi (amezaliwa 9 Februari, 1959 katika wilaya ya Mueda, mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Msumbiji. Anahudumu kama rais wa nne tangu 2015.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search