Fonimu

Fonimu ni jina linalotumiwa katika elimu ya fonolojia kwa kutaja sauti bainifu za lugha fulani zilizo sehemu ndogo kabisa za maneno na kuunda tofauti za maana kati ya neno moja na jingine.[1]

  1. Concise Oxford English dictionary

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search