Ghuba ya Saint Lawrence

48°0′N 61°30′W / 48.000°N 61.500°W / 48.000; -61.500

Ghuba ya Saint Lawrence

Ghuba ya Saint Lawrence (kwa Kiingereza: Gulf of Saint Lawrence, kwa Kifaransa. golfe du Saint-Laurent) ni eneo la mdomo wa Mto Saint Lawrence katika Bahari Atlantiki. Hivyo ni pia sehemu ambako maji ya maziwa makubwa ya Amerika Kaskazini yanaishia baharini. Mkono huu wa bahari umefungwa na nchi kavu ya Kanada pande tatu na una eneo la maji la km2 236,000.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search