Guam

Territory of Guam
Guåhan
Bendera ya Guam Nembo ya Guam
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Where America's Day Begins"
Wimbo wa taifa: Fanohge Chamoru
Lokeshen ya Guam
Mji mkuu Hagatna (Agana)
°′  °′ 
Kijiji Dededo
Lugha rasmi Kiingereza, Kichamoru
Serikali Eneo la ng'ambo la Marekani
Donald Trump
Felix Perez Camacho
Eneo la ng'ambo la Marekani
Koloni la Hispania
Koloni la Marekani
Eneo la ng'ambo la Marekani

1668
1898
1949
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
543.52 km² (ya 192)
‘‘(kidogo sana)’’
Idadi ya watu
 - Julai 2006 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
170,000 (ya 186)
307/km² (ya 37)
Fedha US Dollar (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
Chamorro Standard Time (UTC+10)
-- (UTC)
Intaneti TLD .gu
Kodi ya simu +1-671

-



Ramani ya Guam.

Guam (kwa Kichamoru: Guåhan) ni eneo la ng'ambo la Marekani (U.S. Territory of Guam) upande wa kusini wa funguvisiwa ya Mariana katika Bahari ya Pasifiki. Huhesabiwa kati ya visiwa vya Mikronesia.

Eneo la kisiwa hicho ni kilometa mraba 543.

Mji mkuu ni Hagåtña (Agana).

Uchumi wa Guam unategemea kituo cha kijeshi cha Marekani pamoja na utalii.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search