Haiti

Krioli: Repiblik d Ayiti
Kifaransa: République d'Haïti''

Jamhuri ya Haiti
Bendera ya HaitiF Nembo ya HaitiF
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: L'Union Fait La Force
("Umoja ni nguvu")
Wimbo wa taifa: La Dessalinienne
Lokeshen ya HaitiF
Mji mkuu Port-au-Prince
18°32′ N 72°20′ W
Mji mkubwa nchini Port-au-Prince
Lugha rasmi Kifaransa na Krioli ya Haiti
Serikali Jamhuri
Claude Joseph
Ariel Henry
Uhuru
kutoka Ufaransa
1 Januari 1804
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
27,750 km² (ya 147)
0.7
Idadi ya watu
 - Julai 2018 kadirio
 - 1982 sensa
 - Msongamano wa watu
 
11,439,6461 (ya 85)
5,053,792
382/km² (ya 32)
Fedha Gourde (HTG)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5)
(UTC-4)
Intaneti TLD .ht
Kodi ya simu +509

-


Ramani ya Haiti

Haiti ni nchi kwenye kisiwa cha Karibi cha Hispaniola. Eneo la Haiti ni takriban theluthi moja ya Hispaniola yote. Sehemu kubwa ya kisiwa inaunda nchi jirani ya Jamhuri ya Dominika.

Haiti ni nchi ya kwanza duniani ambako watumwa wenye asili ya Afrika walifaulu kukomesha utumwa na kujipatia uhuru kutoka Ufaransa mwaka 1804.

Haiti ni kati ya nchi maskini kabisa duniani na nchi maskini zaidi katika Amerika yote.

Mji mkuu ni Port-au-Prince.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search