Historia ya Kanisa


Historia ya Kanisa ni fani inayochunguza historia ya Ukristo na ya miundo yake mbalimbali tangu Kanisa lilipoanzishwa na Yesu Kristo katika karne ya 1 hadi leo.

Kwa kawaida historia hiyo hugawanywa katika hatua nne:

  1. kipindi cha Mitume wa Yesu na Mababu wa Kanisa (karne I-karne IX)
  2. Karne za kati (karne IX-karne XV)
  3. kipindi cha marekebisho (karne XVI-karne XVIII)
  4. kipindi cha sasa (karne XIX-karne XXI)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search