Indonesia

Republik Indonesia
Jamhuri ya Indonesia
Bendera ya Indonesia Nembo ya Indonesia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Bhinneka Tunggal Ika
(Kijava/Kikawi: Umoja katika tofauti)
Itikadi: Pancasila
Wimbo wa taifa: Indonesia Raya
Lokeshen ya Indonesia
Mji mkuu Jakarta
6°08′ S 106°45′ E
Mji mkubwa nchini Jakarta
Lugha rasmi Kiindonesia
Serikali Jamhuri
Joko Widodo
Ma'ruf Amin
Uhuru
Kutangaza
Kutambuliwa
Kutoka Uholanzi
17 Agosti 1945
27 Desemba 1949
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,904,569 km² (16th)
4.85%
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
255,461,700 (4th)
237,424,363
124.66/km² (84th)
Fedha Rupiah (IDR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
various (UTC+7 to +9)
not observed (UTC+7 to +9)
Intaneti TLD .id
Kodi ya simu +62

-



Indonesia ni nchi ya visiwa katika Asia ya Kusini-Mashariki. Iko upande wa Kusini-Mashariki kati ya Bahari ya Uhindi na Pasifiki.

Visiwa vyake ni sehemu ya Funguvisiwa la Malay, ingawa Guinea Mpya kwa kawaida haihesabiwi katika fungu hilo.

Indonesia imepakana na Papua Guinea Mpya kwenye kisiwa cha Guinea Mpya, pia na Timor ya Mashariki kwenye kisiwa cha Timor, halafu na Malaysia kwenye kisiwa cha Borneo.

Nchi nyingine zilizo karibu ni Australia, Singapur na Ufilipino.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search