Injili ya Yohane

Agano Jipya

Injili ya Yohane ni kitabu cha nne katika orodha ya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo. Yaliyomo yake ni habari za Yesu Kristo tangu kubatizwa kwake na Yohane Mbatizaji hadi ufufuko wake.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search