Jamaika

Commonwealth of Jamaica
Bendera ya Jamaika Nembo ya Jamaika
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Out of many, one people (kutoka wengi - taifa moja)
Wimbo wa taifa: Jamaica, Land We Love
Wimbo wa kifalme: God Save the King
Lokeshen ya Jamaika
Mji mkuu Kingston
17°59′ N 76°48′ W
Mji mkubwa nchini Kingston
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Ufalme wa kikatiba
Charles III
Sir Patrick Allen
Andrew Holness
Uhuru
kutoka Uingereza
6 Agosti 1962
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
10,991 km² (ya 166)
1.5
Idadi ya watu
 - Julai 2012 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
2,889,187 (ya 139)
252/km² (ya 49)
Fedha Dollar ya Jamaika (JMD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5)
(UTC)
Intaneti TLD .jm
Kodi ya simu +1-876]]

-



Jamaika ni nchi ya kisiwani katika Bahari ya Karibi. Iko km 150 kusini mwa Kuba na 150 upande wa magharibi wa Haiti na ni kisiwa kikubwa cha tatu kati ya Antili Kubwa. Katika lugha ya Kiingereza visiwa hivyo huitwa "West Indies" (visiwa vya Uhindi wa Magharibi).

Jina limetokana na neno la Kiarawak "Xaymaca" au "Chaymaka" linalomaanisha "nchi ya chemchemi" (yaani kisiwa chenye maji matamu).

Mji mkuu ni Kingston.

Ramani ya Jamaika

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search