Jamhuri ya Afrika ya Kati

Jamhuri ya Afrika ya Kati (Kiswahili)
Ködörösêse tî Bêafrîka (Kisango)
Bendera ya Jamhuri ya Afrika ya Kati Nembo ya Jamhuri ya Afrika ya Kati
(Bendera ya Jamhuri ya Afrika ya Kati) (Nembo ya Jamhuri ya Afrika ya Kati)
Lugha rasmi Kisango, Kifaransa
Mji Mkuu Bangui
Mji Mkubwa Bangui
Serikali Jamhuri
Rais Faustin-Archange Touadéra
Eneo km² 622,984
Idadi ya wakazi 3,895,139 (2018)
Wakazi kwa km² 6.25
Uchumi nominal Bilioni $2.003
Pesa CFA frank (XFA) (Frank ya Afrika ya Kati)
Kaulimbiu "Umoja, Heshima, Kazi"
Wimbo wa Taifa E Zingo (Uamsho mpya)
Jamhuri ya Afrika ya Kati katika Afrika

Jamhuri ya Afrika ya Kati (kwa Kisango Ködörösêse tî Bêafrîka) ni nchi ya bara bila pwani katika Afrika ya Kati.

Imepakana na Chadi upande wa kaskazini, Sudan na Sudan Kusini upande wa mashariki, Jamhuri ya Kongo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo upande wa kusini na Kamerun upande wa magharibi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search