Jeshi

Jeshi la Mahdi wa Sudan.

Jeshi ni kundi kubwa la watu wanaopewa mamlaka ya kutumia nguvu ya silaha kutetea nchi kwa niaba ya dola au kutekeleza maagizo ya serikali dhidi ya maadui wa nje.

Neno linatumika hasa kwa kutaja jeshi la ardhi, jeshi la wanamaji na jeshi la anga.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search