Jibuti

Jamhuri ya Jibuti
جمهورية جيبوتي (Kiarabu)
République de Djibouti (Kifaransa)
Jamhuuriyadda Jabuuti (Kisomali)
Gabuutih Ummuuno (Kiafar)
Kaulimbiu ya taifa:
اتحاد، مساواة، سلام (Kiarabu)
Unité, Égalité, Paix (Kifaransa)
Midnimo, Sinnaan, Nabad (Kisomali)
Inkittiino, Qeedala, Wagari (Kiafar)
"Umoja, Usawa, Amani"
Wimbo wa taifa: Jibuti
Mahali pa Jibuti
Mahali pa Jibuti
Ramani ya Jibuti
Ramani ya Jibuti
Mji mkuu
na mkubwa nchini
Jibuti
11°36′ N 43°10′ E
Lugha rasmi
Lugha za taifa
Makabila (asilimia)60 Wasomali
35 Waafar
5 Waarabu
SerikaliJamhuri yenye mdikteta
 • RaisIsmaïl Omar Guelleh
Eneo
 • Eneo la jumlakm2 23 200[1]
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2023976 143[1]
Pato la taifaKadirio la 2023
 • JumlaOngezeko USD bilioni 3.873[2]
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 3 761[2]
Pato halisi la taifaKadirio la 2023
 • JumlaOngezeko USD bilioni 7.193[2]
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 6 985[2]
SarafuFaranga ya Jibuti
Majira ya saaUTC+3
(Afrika Mashariki)
Upande wa magariKulia
Msimbo wa simu+253
Msimbo wa ISO 3166DJ
Jina la kikoa.dj


Jibuti (Kifaransa: Djibouti; Kiarabu: جيبوتي), kirasmi Jamhuri ya Jibuti, ni nchi ndogo ya Afrika ya Mashariki kwenye Pembe la Afrika.

Imepakana na Eritrea, Ethiopia na Somalia upande wa bara. Kuna pwani ya Bahari ya Shamu na Ghuba ya Aden. Ng'ambo ya bahari iko nchi ya Yemen katika umbali wa km 20 pekee.

Jina la nchi linatokana na lile la mji mkuu, Jibuti.

  1. 1.0 1.1 "Djibouti". The World Factbook (kwa Kiingereza) (toleo la 2024). Shirika la Ujasusi la Marekani. Iliwekwa mnamo 30 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. 2.0 2.1 2.2 2.3 "World Economic Outlook Database, October 2023 Edition. (Djibouti)". IMF.org. International Monetary Fund. 10 Oktoba 2023. Iliwekwa mnamo 20 Oktoba 2023.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search