Karne ya 13

Ramani ya Afrika katika karne ya 13

Karne ya 13 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1201 na 1300. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 1201 na kuishia 31 Desemba 1300. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".

Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.

Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search