Kazakhstan

Қазақстан Республикасы
Qazaqstan Respublïkası
Республика Казахстан
Respublika Kazakhstan

Jamhuri ya Kazakhstan
Bendera ya Kazakhstan Nembo ya Kazakhstan
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: Kazakhstan yangu
Lokeshen ya Kazakhstan
Mji mkuu Nursultan
51°10′ N 71°30′ E
Mji mkubwa nchini Almaty
Lugha rasmi Kikazakh, Kirusi
Serikali Jamhuri
Kassym-Jomart Tokayev (Қасым-Жомарт Тоқаев)
Oljas Bektenov (Олжас Бектенов)
Uhuru
Ilitangazwa
ilikamilika

16 Desemba 1991
25 Desemba 1991
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,724,900 km² (ya 9)
1.7
Idadi ya watu
 - July 2015 kadirio
 - 1999 sensa
 - Msongamano wa watu
 
17,563,300[1] (ya 62)
14,953,100
5.94/km² (ya 227)
Fedha Tenge ya Kazakhstan (KZT)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+5 to +6)
(UTC)
Intaneti TLD .kz
Kodi ya simu +7

-



Ramani ya Kazakhstan

Kazakhstan ni nchi ambayo kwa kiasi kikubwa iko katika Asia ya Kati.

Imepakana na Urusi, China, Kirgizstan, Uzbekistan na Turkmenistan.

Mji mkuu ni Astana (mwaka 2019 jina lake limekuwa Nursultan); Almaty ilishika nafasi hiyo hadi 1996.

  1. "National Statistics Agency of Kazakhstan". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-03-11. Iliwekwa mnamo 2006-12-29.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search