Kiazeri

Maeneo yenye wasemaji wa Kiazeri.

Kiazeri (pia: Kiazerbaijani, Kituruki cha Azerbaijani, kwa lugha ya wenyewe: Azərbaycanca, Azərbaycan dili, آذربایجان تورکجه‌سی) ni moja ya lugha za Kiturki ambayo ni karibu na Kituruki chenyewe. Wengine hutofautisha lugha mbili za Kiazeri, yaani Kiazeri-Kaskazini nchini Azerbaijani inayoandikwa kwa alfabeti ya Kilatini, na Kiazeri-Kusini nchini Uajemi inayoandikwa kwa alfabeti ya Kiarabu (angalia hapo chini).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search