Kiga

Kiga ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Ghana inayozungumzwa na Waga. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kiga imehesabiwa kuwa watu 600,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiga iko katika kundi la Kikwa.

Kiga

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search