Kimaasai

Kabila la Kimasai

Kimaasai (au Kimaa) ni lugha ya Kiniloti inayozungumzwa na Wamaasai nchini Kenya na Tanzania.

Lugha hiyo huandikwa kwa herufi za Alfabeti ya Kilatini.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search