Kindebele

Kindebele ni lugha ya Kibantu nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wandebele. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kindebele imehesabiwa kuwa watu 640,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kindebele iko katika kundi la S30.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search