Kiongozi

Kiongozi wa Tanzania,J.P. Magufuli

Kiongozi ni mtu ambaye huongoza kikundi cha watu[1]. Mara nyingi kiongozi hupewa heshima ya juu katika jamii, kikundi cha watu au katika familia ambapo huheshimiwa na watu wote katika eneo husika analolisimamia kiongozi kwa ajili ya kuwaongoza watu.

  1. https://wol.jw.org/sw/wol/d/r13/lp-sw/2002201

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search