Kiribati

Ribaberikin Kiribati
Jamhuri ya Kiribati
Bendera ya Kiribati Nembo ya Kiribati
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Te Mauri, Te Raoi ao Te Tabomoa
(Afya, amani na usitawi)
Wimbo wa taifa: Teirake Kaini Kiribati
Lokeshen ya Kiribati
Mji mkuu Teinainano (Tarawa)
1°28′ N 173°2′ E
Mji mkubwa nchini Betio (Tarawa)
Lugha rasmi Kiingereza , Kikiribati
Serikali Jamhuri
Taneti Maamau
Uhuru
kutoka Uingereza

12 Julai 1979
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
726 km² (ya 186)
0
Idadi ya watu
 - Julai 2005 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
103,500 (ya 197)
103,500
135/km² (ya 73)
Fedha Dollar ya Australia (AUD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+12, +13, +14)
(UTC)
Intaneti TLD .ki
Kodi ya simu +686

-

1 Supplemented by a nearly equal amount from external sources.


Kiribati ni nchi ya visiwani ya Polynesia na Mikronesia katika Pasifiki karibu na ikweta yenye wakazi 100,000 hivi.

Eneo lake ni visiwa 33 vilivyosambaa kwa 5,200,000 km². Visiwa 32 vimepangwa katika vikundi vinne:

Mji mkuu wa Bairiki uko kwenye kisiwa cha Tarawa.

Ramani ya Kiribati

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search