Kiyama

"Hukumu ya Mwisho" ilivyochorwa na Michelangelo kwenye ukuta wa Cappella Sistina huko Vatikano.
Mchoro wa Hans Memling kuhusu "Hukumu ya Mwisho" 1467-1471.
Mchoro wa karne ya 17 kutoka Lipie (kwenye Historic Museum in Sanok, Poland).
Mchoro wa ukutani kuhusu "Hukumu ya mwisho" huko Voroneţ Monastery, Romania.
Mchoro wa William Blake Mwono wa Hukumu ya Mwisho (1808)

Kiyama ni neno linalotokana na Kiarabu يوم القيامة, Yawm al-Qiyāma yaani "Siku ya ufufuko" ambayo inaitwa pia يوم الدين , Yawm al-Dīn, yaani "Siku ya dini".

Kadiri ya imani ya dini mbalimbali, hususan Uyahudi, Ukristo na Uislamu, kutakuwa na siku ambapo Mungu ataleta ufufuko wa wafu wote pamoja na hukumu ya matendo yao.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search