Kodi

Kodi (kutoka neno la Kihindi) ina maana mbili:

  1. ushuru unaodaiwa na serikali ya nchi (kwa Kiingereza: tax) na
  2. pango yaani pesa anazotozwa mtu anapopangishwa nyumba au ardhi (kwa Kiingereza: rent au lease).

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search